Breaking News: Mbunge wa Rombo kwa tiketi ya CHADEMA, Mhe Joseph Selasini amepata ajali mbaya ya gari
Breaking News: Mbunge wa Rombo kwa tiketi ya CHADEMA, Mhe Joseph Selasini amepata ajali mbaya ya gari eneo la Boman'gombe, akiwa safarini kutoka Arusha ambapo watu watatu wamepoteza maisha hapo hapo.
![]()  | 
| Mhe Joseph Selasini | 

