Gari na Nyumba ya Askofu zachomwa Moto Katika Vurugu za Zanzibar
![]() |
Gari la Kiongozi wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG), Bishop Dickoson Maganga lililochomwa moto usiku wa jana katika eneo la Kariakoo nje ya kanisa hilo. |
Kikosi cha Kuzuia Ghasia (FFU),
kikizunguka katika maeneo ya Michenzani kuimarisha ulinzi ambapo tayari
jeshi la polisi limepiga marufuku mikusanyiko yoyote.
Picha zote na http://zanzibaryetu.wordpress.com/